Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
SI SAHIHI: Serikali imeweka mipaka, Watumishi wa umma wote kwa sasa wanatakiwa kushughulikiwa na Tume ya Utumishi wa Umma, kabla ya kwenda CMA.
Tume ya Utumishi wa Umma ina wajibu wa kuhakikisha kwamba kunakuwepo na Utawala Bora katika usimamizi na uendeshaji wa Rasilimali Watu katika Utumishi wa Umma ili uweze kutoa matokeo yenye tija na huduma bora inayotarajiwa na wananchi.
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.