Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Tume ya Utumishi wa Umma ilitekeleza agizo la Serikali kwa kuhamia Dodoma mwezi Septemba,2021 na Ofisi zake zipo jengo la Chimwaga, Chuo kikuu cha Dodoma.
Tume ina jukumu la kuwezesha Taasisi za Umma na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, Tume imekuwa ikifanya uwezeshaji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ingawa haijaweza kuzifikia Mamlaka zote kutokana na changamoto ya Rasilimali zilizopo.
Tume inafahamu kuwa kumekuwe...
Kwa mujibu wa Kifungu cha 23 cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 [ Marekebisho ya mwaka 2019 ] kwa kuzingatia wakati wa kushughulikia mashauri ya nidhamu kwa watumishi wa umma. Misingi hiyo ni :-
Mtumishi mtuhumiwa kupewa Hati ya Mashtaka na Notisi
Mtumishi mtuhumiwa kupewa fur...
Tume kama cbombo cha kutoa haki inapoamua rufaa inapitia vielelezo vyote kutoka katika Mamlaka ya Nidhamu kuangalia jinsi mchakato ulivyofanyika. Kamati ya Uchunguzi ndicho chombo ambacho kwa mujibu wa Sheria kimepewa wajibu wa kuthibitisha kama tuhuma zilizopo katika hati ya mashtaka na utetezi wa...
Wajibu wa Mtumishi ni kujua haki yake ili isipotee pale ambapo anaona hajatendewa haki katika masuala yake ya kiutumishi na kuwasilisha Rufaa yake kwa Mamlaka husika kwa muda uliowekwa Kisheria.
Mtumishi anatakiwa kuwasilisha Rufaa Tume ndani ya muda usiozidi siku 45 tangu alipopokea barua...
Mtumishi wa Umma anapowasilsha Rufaa yake Tume atarajie mambo mawili ambayo ni kukubaliwa au kakataliwa kwa rufaa yake.
1. Rufaa kukubaliwa:
Kuna aina mbili za kukubaliwakwa rufaa ya Mtumishi wa Umma ambazo ni :-
Kukubaliwa bila masharti ni pale ambapo tuhuma dhidi ya mrufani hazij...
Ucheleweshaji wa majalada na nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya ukaguzi;
Uelewa mdogo wa Maafisa wanaopewa jukumu la kufanya kazi na Wakaguzi kwenye baadhi ya Taasisi;
Vikao vya kuanza na kumaliza ukaguzi kutopewa umuhimu unaostahili na baadhi ya Watendaji Wakuu; na
Kutotekelezwa kwa ma...
Uhaba wa Rasilimali Fedha na
Uhaba wa Vifaa kama vile Magari na Vitendea kazi.
Kurekebisha kasoro za kiutendaji zilizobainishwa wakati wa Ukaguzi ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi;
Kuiwezesha Serikali kufahamu hali ya Utumishi wa Umma nchini ambayo huisaidia Serikali katika kupanga mipango yake inayohusu masuala ya Rasilimali Watu;
Kuisaidia Tume kuto...
Kwa sasa, Tume inakagua maeneo 10 kama ifuatavyo:-
Ajira Mpya;
Upandishaji Vyeo;
Mafunzo na Maendeleo ya Watumishi;
Likizo (Likizo ya Mwaka na Likizo ya Kustaafu, likizo ya ugonjwa);
Uzingatiaji wa Maadili na Ushughulikiaji wa Malalamiko katika Utumishi wa Umma;
Nidhamu (Disciplinary...