Mamlaka ya Tume
Mamlaka ya Tume
Kuhakikisha Waajiri na Mamlaka za Nidhamu katika Utumishi wa Umma zinazingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma, Tume imekabidhiwa Mamlaka yafuatayo:-
- Kuwaita viongozi Watendaji na kuhoji utendaji wao kutokana na ushahidi au Malalamiko juu yao
- Kumchukulia hatua kiongozi Mtendaji yeyote anayeshindwa kumchukulia hatua mtumishi aliye chini yake.
- Kuitaka Mamlaka yoyote ya Ajira kuwasilisha Tume taarifa yoyote inayofanyika katika kutekeleza shughuli zake