Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Fedha na Hesabu

Malengo.    Kutoa usimamizi bora wa fedha, udhibiti wa bajeti na huduma za uhasibu

                        kwa Tume

Kitengo hiki hufanya shughuli zifuatazo;-

Mishahara

• Maandalizi na malipo ya mishahara na makato ya kisheria.

• Usimamizi wa mishahara.

• Kutunza kumbukumbu za fedha.

• Kutayarisha Taarfa za Mishahara.

Ofisi ya Fedha na Mapato (Cash office and Revenue)

• Kuwasilisha orodha ya Hati za malipo  Hazina.

• Kuweka benki fedha taslimu na hundi.

• Maandalizi ya ripoti ya kila mwezi.

• Malipo ya fedha taslimu/hundi kwa wafanyakazi/wateja (watoa huduma).

• Kukusanya Hati za malipo zilizolipwa.

• Utunzaji wa kitabu cha fedha.

• Kuweka na kudhibiti fedha ndogo ndogo.

• Utunzaji wa rejista ya masurufu.

• Kulinda hati zote za malipo.

• Kutayarisha  za mapato.

• Ukusanyaji wa mapato yote.

• Kusimamia mapato kulingana na kanuni na miongozo

 

Hesabu za Mwisho

• Kutayarisha stakabathi na taarifa za malipo.

• Kuidhinisha malipo kulingana na sheria na kanuni za fedha.

• Kutayarisha na kuwasilisha taarifa ya madeni ya Taasisi Hazina.

• Kutayarisha majibu ya mapendekezo na Maagizo ya PAC.

• Kuandaa majibu ya taarifa za CAG.

• Kuratibu Idara za PSC katika kujibu hoja za ukaguzi wa ndani na CAG

• Kuandaa bajeti ya mapato.

 

Ukaguzi wa awali

 

• Kuhakikisha kuwa kuna nyaraka zinazofaa ili kusaidia hati za malipo, ikijumuisha

    Uidhinishaji kulingana na Kanuni za Fedha.

• Kuhakikisha kuwa malipo yamezingatia  sheria, kanuni na miongozo mbalimbali ya  

    fedha.

• Kujibu hoja zote za Ukaguzi zilizoulizwa katika mwaka wa fedha uliopita.

 

Waandishi wa Hati za malipo

 

• Maandalizi ya hati ya malipo.

• Uandishi wa   hati ya malipo  kwenye mfumo wa MUSE

• Kupokea na kushughulikia malipo na madai yaliyoidhinishwa.

KITENGO CHA FEDHA NA UHASIBU

 

Malengo.    Kutoa usimamizi bora wa fedha, udhibiti wa bajeti na huduma za uhasibu

                        kwa Tume

Kitengo hiki hufanya shughuli zifuatazo;-

Mishahara

• Maandalizi na malipo ya mishahara na makato ya kisheria.

• Usimamizi wa mishahara.

• Kutunza kumbukumbu za fedha.

• Kutayarisha Taarfa za Mishahara.

Ofisi ya Fedha na Mapato (Cash office and Revenue)

• Kuwasilisha orodha ya Hati za malipo  Hazina.

• Kuweka benki fedha taslimu na hundi.

• Maandalizi ya ripoti ya kila mwezi.

• Malipo ya fedha taslimu/hundi kwa wafanyakazi/wateja (watoa huduma).

• Kukusanya Hati za malipo zilizolipwa.

• Utunzaji wa kitabu cha fedha.

• Kuweka na kudhibiti fedha ndogo ndogo.

• Utunzaji wa rejista ya masurufu.

• Kulinda hati zote za malipo.

• Kutayarisha  za mapato.

• Ukusanyaji wa mapato yote.

• Kusimamia mapato kulingana na kanuni na miongozo

 

Hesabu za Mwisho

• Kutayarisha stakabathi na taarifa za malipo.

• Kuidhinisha malipo kulingana na sheria na kanuni za fedha.

• Kutayarisha na kuwasilisha taarifa ya madeni ya Taasisi Hazina.

• Kutayarisha majibu ya mapendekezo na Maagizo ya PAC.

• Kuandaa majibu ya taarifa za CAG.

• Kuratibu Idara za PSC katika kujibu hoja za ukaguzi wa ndani na CAG

• Kuandaa bajeti ya mapato.

 

Ukaguzi wa awali

 

• Kuhakikisha kuwa kuna nyaraka zinazofaa ili kusaidia hati za malipo, ikijumuisha

    Uidhinishaji kulingana na Kanuni za Fedha.

• Kuhakikisha kuwa malipo yamezingatia  sheria, kanuni na miongozo mbalimbali ya  

    fedha.

• Kujibu hoja zote za Ukaguzi zilizoulizwa katika mwaka wa fedha uliopita.

 

Waandishi wa Hati za malipo

 

• Maandalizi ya hati ya malipo.

• Uandishi wa   hati ya malipo  kwenye mfumo wa MUSE

• Kupokea na kushughulikia malipo na madai yaliyoidhinishwa.