Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Rufaa na Malalamiko

MAJUKUMU YA MSINGI YA IDARA YA RUFAA NA MALALAMIKO

  1. Kushughulikia rufaa na malalamiko yanayowasilishwa na watumishi wa Umma wasioridhishwa na maamuzi ya Waajiri, Mamlaka za Ajira na Mamlaka za Nidhamu.
  2. Kuandaa taarifa za utekelezaji wa majukumu yake kwa robo mwaka na mwaka na kuziwasilisha Kitengo cha Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini.
  3. Kuwasilisha vielelezo vya Rufaa na Malalamiko yaliyowasilishwa IKULU kupinga maamuzi ya Tume.
  4. Kuwaita mbele ya Tume na kuwahoji Watendaji Wakuu katika Utumishi wa Umma wanaoshindwa kutekeleza maagizo ya Tume kuhusu rufaa na malalamiko ya Watumishi wa Umma.

slot gacor