Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Dira,Dhima na Maadili

DIRA

Kuwa na Utumishi wa Umma wenye tija, haki na uwajibikaji

DHIMA

Kusimamia na kuhakikisha kwamba Waajiri, Waajiriwa, Mamlaka za Ajira na Mamlaka za Nidhamu zinazingatia Sheria, Kanuni na Taratibu katika kusimamia masuala yanayohusu Rasilimali Watu pamoja na kushughulikia kwa wakati rufaa na malalamiko

MAADILI YA MSINGI

Tume hutekeleza majukumu yake kwa kuongozwa na maadili yafuatayo:-

  1. Uadilifu
  2. Uwazi na Uwajibikaji
  3. Ubora wa huduma
  4. Kufanya kazi kwa ushirikiano
  5. Kujali muda
  6. Ubunifu