Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Ukaguzi unaofanywa na Tume una umuhimu gani?
    • Kurekebisha kasoro za kiutendaji zilizobainishwa wakati wa Ukaguzi ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi;
    • Kuiwezesha Serikali kufahamu hali ya Utumishi wa Umma nchini ambayo huisaidia Serikali katika kupanga mipango yake inayohusu masuala ya Rasilimali Watu;
    • Kuisaidia Tume kutoa mapendekezo ya kuboresha Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma; na

Kuleta ulinganifu (uniformity) katika kutafsiri Sheria, Kanuni na Miongozo ya Utumishi wa Umma