Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Tume inafanya ukaguzi wa Uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu katika Usimamizi wa Utumishi wa Umma (Compliance Audit) kwa kuangalia uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu katika michakato (process) ya masuala hayo wakati Taasisi nyingine hufanya Ukaguzi kwa kuangalia matukio tu
i) Ukaguzi wa Kawaida Hufanyika kila baada ya mwaka wa fedha kukamilika kwa lengo la kuangalia Uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu kwenye michakato mbalimbali ya masuala ya Kiutumishi. Ukaguzi huu umelenga kuangalia masuala ya kiutumishi yaliyotengewa fedha katika mwaka wa fedha husika kama...
Kwa mujibu wa Kanuni ya 60 (1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2022 Tume inaweza ikatoa uamuzi ufuatao:- Kukubali rufaa bila masharti:  Pale ambapo tuhuma dhidi ya mrufani hazijathibitika na mchakato wa masuala ya nidhamu ulifuata taratibu zote.  Kwa uamuzi huu Mtumi...
Rufaa zilizoamuliwa mwaka 2023/24 ni 480. Baadhi ya rufaa hizo zilihusu Wizi, Kushindwa kutekeleza majukumu ipasavyo. Utoro Kazini, Kughushi Cheti, Udanganyifu, Rushwa, Kughushi Nyaraka, Kukosa Uaminifu, Uzembe, Ulevi  
Wajibu wa Mtumishi ni kujua haki yake ili isipotee na kuzingatia muda wa   kuwasilisha rufaa yake ndani ya muda usiozidi siku 45 kuanzia siku alipopokea barua ya uamuzi kutoka katika Mamlaka ya Nidhamu (Kanuni ya 61(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022). Malalamiko pia ya...
Kifungu cha 23 cha Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298 (Marejeo ya mwaka 2019) kimeainisha mambo matatu muhimu ya kuzingatia wakati wa kushughulikia mashauri ya nidhamu kwa watumishi wa umma. Misingi hiyo ndiyo inayoangaliwa na Tume kama mamlaka ya Nidhamu imeizingatia. Misingi hiyo ni:- Mt...
Kifungu cha 10(1) (g) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298 [Marejeo ya mwaka 2019] kinaipa Tume mamlaka ya kuwaita Watendaji Wakuu katika Utumishi wa Umma kufika mbele yake kujieleza inapokuwa na ushahidi wa Watendaji hao kushindwa kutekeleza maagizo/uamuzi wa Tume.  Tume isiporidhika...
Tume ya Utumishi wa Umma ni Idara ya Serikali inayojitegemea iliyoundwa kwa mujibu wa kifungu cha 9 cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 ( Marekebisho ya mwaka 2019 ). Tume ilianza rasmi kutekeleza majukumu yake mnamo tarehe 07 January 2004, baada ya Mwenyekiti na Wajumbe  (6) kuteuliwa...