Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Rufaa zilizoamuliwa katika Mikutano ya mwaka 2023/24 zilihusu masuala gani?
  • Rufaa zilizoamuliwa mwaka 2023/24 ni 480. Baadhi ya rufaa hizo zilihusu Wizi, Kushindwa kutekeleza majukumu ipasavyo.

Utoro Kazini, Kughushi Cheti, Udanganyifu, Rushwa, Kughushi Nyaraka, Kukosa Uaminifu, Uzembe, Ulevi