Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Tume ni Mamlaka kwa Watumishi wa Umma, inatumia Sheria ipi katika kuamua Rufaa ?

Kwa mujibu wa Kifungu cha 23 cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 [ Marekebisho  ya mwaka 2019 ] kwa kuzingatia wakati wa kushughulikia mashauri ya nidhamu kwa watumishi wa umma. Misingi hiyo ni :-

  • Mtumishi mtuhumiwa kupewa Hati ya Mashtaka na Notisi
  • Mtumishi mtuhumiwa kupewa fursa ya kusikilizwa na kujitetea
  • Kuundwa kwa Kamati ya Uchunguzi wa shauri endapo mtumishi mtuhumiwa atakana kosa.