Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Maeneo gani yanayokaguliwa katika ukaguzi wa Kawaida ?

Kwa sasa, Tume inakagua maeneo 10 kama ifuatavyo:-

  • Ajira Mpya;
  • Upandishaji Vyeo;
  • Mafunzo na Maendeleo ya Watumishi;
  • Likizo (Likizo ya Mwaka na Likizo ya Kustaafu, likizo ya ugonjwa);
  • Uzingatiaji wa Maadili na Ushughulikiaji wa Malalamiko katika Utumishi wa Umma;
  • Nidhamu (Disciplinary Handling);
  • Anuai za Jamii;
  • Fidia ya Ajali na Magonjwa Yanayotokana na Kazi na Mafao ya Hitimisho la Ajira;
  • Matumizi ya Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa za Rasilimali Watu na Mishahara; na

Usimamizi wa Taratibu za Ofisi, Utunzaji wa Kumbukumbu na Nyaraka.