Bw. Muhidini Muro mtumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma akiwahudumia wateja waliwasili kwenye Banda la Tume ya Utumishi wa Umma katika maonesho ya Saba Saba 2026.
Viongozi wa Tume ya Utumishi wa Umma wakiongozwa na Mwenyekiti, Mhe. Jaji (Mst.) Hamisa Hamisi Kalombola, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bw. Nolasco Jacob Kipanda (wa nne kushoto), Bw. John Mbisso Naibu Katibu Idara ya Rufaa na Malalamiko (wa tatu kulia) wakiwa kwenye Banda la Tume Utumishi wa Umma pamoja na baadhi ya watumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma katika maonesho ya Saba Saba 2026.
Viongozi wa Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) Mhe. Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) Bw. Nolasco Jacob Kipanda (wa pili kushoto), Naibu Katibu Idara ya Rufaa na Malalamiko Bw. John Mbisso (wa pili kulia), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bw. Ridhiwani Wema (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Biashara (TANTRADE) Bi. Lulu Mkudde (wa kwanza kulia), katika Picha ya pamoja wakati Viongozi wa Tume walipotembelea maonesho ya Saba Saba 2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice M. S. Mafumiko (wa pili kushoto), akipokea zawadi alipotembelea Banda la Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) Saba Saba 2026.
Bw. Aretas James Lyimo, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wa kwanza kushoto, akipokea zawadi wakati alipotembelea Banda la Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) , Saba Saba 2026.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Leonard Douglas Akwilapo (watatu kushoto), akiwa katika Picha ya Ukumbusho na Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma (TUU) katika banda la Saba Saba 2026.