Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mhe. Waziri George B. Simbachawene (MB), WN OWM (Sera, Uratibu na Bunge) kushoto, akimkabidhi kibali cha ujenzi wa Ofisi ya Tume, Bw. Mathew M. Kirama (kulia) Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma hafla iliyofanyika Ukumbi wa Hazina Dodoma. Mhe. George B. Simbachawene (Mb) Waziri  OWM (Sera, Bunge na Uratibu) aliyekaa wa pili kulia, katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakuu wa Taasisi walioshiriki hafla ya kukabidhiwa vibali vya ujenzi wa Ofisi, Dodoma iliyofanyika ukumbi wa Hazina Dodoma. Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bw. Mathew M. Kirama (wa pili kushoto) akipatiwa ufafanuzi wa jengo linalojengwa la Tume katika Mji wa Serikali Mtumba kutoka kwa Mhandisi  wa Kampuni ya CRJE. Waziri wa Nchi (ORMUUUB) Mhe. Jenista J. Mhagama (kushoto) akisalimiana na mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Mhe. hamisa H. kalombola (kulia) wakati wa ziara ya Mheshimiwa Waziri Mhagama kutembelea Ofisi ya Tume, Dodoma. Waziri wa Nchi (ORMUUUB) Mhe. Jenista J. Mhagama (Mb)  (kushoto) akisalimiana na Bw. Mathew Kirama (wa pili kulia) Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, wakati Mheshimiwa Waziri alipoitembelea Tume, Jijini Dodoma.

Karibu Tume ya Utumishi wa Umma

 

Tume ya Utumishi wa Umma imeundwa chini ya Kifungu Na. 9(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298. Tume ilianza kufanya kazi rasmi tarehe 7/1/2004 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua viongozi ( Mwenyekiti, Makamishna na Katibu wa Tume) kusimamia utendaji wake.

Kazi kubwa ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa shughuli za Rasilimali watu katika Taasisi za Umma na kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.

Tume ya Utumishi wa Umma inaendelea kushirikiana na wadau wake wote ili kuhakikisha kuwa U

Taarifa Kwa Vyombo vya Habari

31-05-2022

TAARIFA KWA UMMA

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.