Mwenyekiti wa Tume (PSC) Jaji Mst. Hamisa H. Kalombola (Pichani) akizindua vyoo vilivyojengwa na Tume kama tukio la Huruma katika Kijiji cha Samaria - Hombolo. Tukio hili ni mojawapo ya Shamra shamra za 'Tume day"
Katika Shamra shamra za Maadhimisho ya Siku ya Tume "Tume day" Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bw. Mathew M. Kirama alishiriki zoezi la kupanda miti katika Ofisi mpya za Tume zinazojengwa katika Mji wa Serikali - Mtumba tarehe 28/09/2024
Katika Shamra shamra za Maadhimisho ya Siku ya Tume "Tume day" Mhe. Jst. Hamisa H. Kalombora Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma alishiriki katika zoezi la upandaji miti katika Ofisi mpya za Tume zinazojengwa katika Mji wa Serikali - Mtumba tarehe 28/09/2024
Katika Shamra shamra za Maadhimisho ya Siku ya Tume "Tume day" Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene alishiriki zoezi la kupanda miti katika Ofisi mpya za Tume zinazojengwa katika Mji wa Serikali - Mtumba tarehe 28/09/2024
Picha ya pamoja ya Makamishna wakiwa na Mwenyekiti wa Tume (Aliyekaa Katikati) Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola, kushoto kwake pichani aliyekaa ni Katibu wa Tume Bw. Mathew M. Kirama