Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mwenyekiti wa Tume Jaji Mst. Mhe. Hamisa Kalombola (waliokaa -katikati), akiwa na Viongozi na baadhi ya Watumishi wa Tume na MORUWASA baada ya kuzungumza na Watumishi wa MORUWASA kuhimiza uwajibikaji, mjini Morogoro tarehe 09/11/2023. Mwenyekiti wa Tume, Jaji mstaafu Mhe. Hamisa Kalombola (katikati) akizungumza na watumishi wa MORUWASA (hawapo pichani) kulia ni Bw. Mathew Kirama, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma na kushoto ni Mhandisi Tamim Katakweba, Mkurugenzi Mtendaji wa MORUWASA.

Karibu Tume ya Utumishi wa Umma

 

Tume ya Utumishi wa Umma imeundwa chini ya Kifungu Na. 9(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298. Tume ilianza kufanya kazi rasmi tarehe 7/1/2004 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua viongozi ( Mwenyekiti, Makamishna na Katibu wa Tume) kusimamia utendaji wake.

Kazi kubwa ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa shughuli za Rasilimali watu katika Taasisi za Umma na kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.

Tume ya Utumishi wa Umma inaendelea kushirikiana na wadau wake wote ili kuhakikisha kuwa U

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.