Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mhe. Haroon A. Suleiman (WN OR KSUUB), Zanzibar  (kushoto), akisalimiana na Bw. Mathew M. Kirama, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Tanzania Bara wakati wa ziara ya Tume Zanzibar Mei 2023 Watumishi wa Umma kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizopo Kanda ya Ziwa wakishiriki Kikao Kazi kilichoandaliwa na Tume ya Utumishi wa Umma, kinachofanyika Jijini Mwanza kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuzielewa na kutafsiri Sheria. Watumishi wa Umma kanda ya Ziwa kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa wakishiriki Kikao Kazi kilichoandaliwa na Tume ya Utumishi wa Umma kwa lengo la kuwajengea uwezo Mwenyekiti wa Tume Jaji mstaafu Mhe. Hamisa Kalombola (aliyekaa katikati) akifafanua jambo wakati wa kikao kazi kati ya Tume na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Kanda ya Ziwa kilichofanyika Jijini Mwanza.. Mhe. Renatus Mulunga,(kulia) Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela (Mwanza) akizungumza wakati wa Kikao kazi cha Tume na washiriki kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa, Kanda ya Ziwa kilichofanyika Jijini Mwanza. Waziri wa Nchi (OR MUUUB) Mhe. George B. Simbachawene (Mb), aliyekaa katikati akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Tume, kushoto kwake ni Mhe. Ridhiwan J. Kikwete (Mb) Naibu Waziri (OR MUUB) mara baada ya kuitembelea Tume.

Karibu Tume ya Utumishi wa Umma

 

Tume ya Utumishi wa Umma imeundwa chini ya Kifungu Na. 9(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298. Tume ilianza kufanya kazi rasmi tarehe 7/1/2004 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua viongozi ( Mwenyekiti, Makamishna na Katibu wa Tume) kusimamia utendaji wake.

Kazi kubwa ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa shughuli za Rasilimali watu katika Taasisi za Umma na kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.

Tume ya Utumishi wa Umma inaendelea kushirikiana na wadau wake wote ili kuhakikisha kuwa U

Taarifa Kwa Vyombo vya Habari

31-05-2022

TAARIFA KWA UMMA

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.