Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

MAADHIMISHO YA SIKU YA TUME
28 Sep, 2024 10:00AM - 15:45PM
DODOMA
ridhiwani.wema@psc.go.tz

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Pichani Kushoto) akimkabidhi funguo za Bajaji iliyotolewa na Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) Bw. Enos Ntuso, Mtumishi wa Tume ikiwa ni pamoja na matukio yaliyopamba "Tume day" tarehe 28 Sept, 2024

MAADHIMISHO YA SIKU YA TUME