Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma inawatangazia wananchi wote
kuwa tarehe 04/04/2024 siku ya Alhamisi itauza vifaa kwa njia ya Mnada
wa Hadhara utakaofanyika Dar es Salaam katika Jengo la Ofisi za TEMESA
MT-DEPOT zilizopo kurasini karibu na Bohari Kuu ya Serikali (GPSA)
kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Rufaa na Malalamiko 342 yametolewa uamuzi na Tume ya Utumishi wa Umma katika Mkutano wa Ta
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.