Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Katibu na Manaibu Katibu

Tume ya Utumishi wa Umma inaye Katibu ambaye huteuliwa na Rais. Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Tume na Afisa Mhasibu.

Kwa mujibu wa majukumu na muundo wa Tume ya Utumishi wa Umma, Tume ina Idara mbili (2) zinazoongozwa na Manaibu Katibu.

· Idara ya Rufaa na Malalamiko

· Idara ya Viwango na Uzingatiaji wa Usimamizi wa Rasilimali Watu

 

Taarifa Kwa Vyombo vya Habari

31-05-2022

TAARIFA KWA UMMA

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.