Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma (PSC), Mheshimiwa Jaji mstaafu Hamisa Hamis Kalombola amesema kuwa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma imepokea kwa huzuni na masikitiko makubwa kifo cha Rais wa Awamu ya pili, Hayati Ali Hassan Mwinyi, kilichotokea tarehe 29 Februari 2024 katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar-es-Salaam.
Rufaa na Malalamiko 342 yametolewa uamuzi na Tume ya Utumishi wa Umma katika Mkutano wa Ta
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.