Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Makala

MAKALA YA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHUSU MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA BARA, TAREHE 09 DESEMBA 2021: "Katika kipindi hiki Serikali, na Nchi yetu tupo katika Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa lililokuwa taifa la Tanganyika tulioupata tarehe 09 Desemba 1961 na baadae kuzaliwa kwa taifa liitwalo Tanzania. Kauli mbiu ya maadhimisho haya ni “Tanzania Imara, kazi iendelee”. Katika miaka 60 ya Uhuru, Tume ya Utumishi wa Umma ni miongoni mwa vyombo vilivyoanzishwa na Serikali ili kusimamia masuala ya uendeshaji wa Rasilimali watu katika Utumishi wa umma. Tunapoadhimisha Sherehe hizi, kupitia Makala haya tutaangalia hatua ambazo Tume imepiga tangu nchi yetu ilipopata Uhuru, ilipo, mafanikio na inapoelekea.

Pakua

kuboresha huduma za serikali.pdf

sifani kigezo cha ajira.pdf

majukumu ya kisheria ya idara ya utumishi wa walimu.pdf

kuthibitisha kazini.pdf

Taratibu za kusajiliwa Mwalimu.pdf

uandishi wa hati ya mashitaka ktk utumishi wa walimu.pdf

usimamizi wa kanuni za maadili ya kazi.pdf

Usimamizi wa Maadili.pdf

Usimamizi wa tathmini ya utendaji kazi kazi23.8.07.pdf

MAKALA MAADILI 2021.jpg

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.