Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
DIRA YETU
Kuwa mfano wa kuigwa Afrika katika kusimamia utawala bora na kutoa huduma bora katika kusimamia Utumishi wa Umma Tanzania.
DHAMIRI YETU
Kusimamia na kuhakikisha kwamba Watumishi wa Umma, Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu zinazingatia Sheria, Kanuni na Taratibu katika kusimamia masuala yanayohusu rasilimali watu pamoja na kushughulikia kwa wakati rufaa na malalamiko yanayowasilishwa Tume.
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.