Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mkutano wa Nne wa Tume(PSC) wa mwaka 2023/2024-Mwanza.
18 Jul, 2024
Mkutano wa Nne wa Tume(PSC) wa mwaka 2023/2024-Mwanza.

Mkutano wa Nne wa Tume(PSC) wa mwaka 2023/2024 umefanyika jijini Mwanza katika Ukumbi wa BOT' kupitia na kujadili Rufaa na 

Malalamiko ya Watumishi wa Umma  na Mamlaka zao za nidhamu kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.

Kikao hicho kilifanyika kuanzia tarehe 27/05/2024 hadi 14/06/2024,chini ya Mwenyekiti wake Jaji Mst.Hamisa Kalombola,Makamishna na Sekretarieti yake.