Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mkutano wa Nne wa Tume(PSC) wa mwaka 2023/2024-Mwanza.
07 Jun, 2024 11:30
Mwanza-BOT Hall
ridhiwani.wema@psc.go.tz

Mkutano wa Nne kwa mwaka 2023/2024 wa Tume ya  Utumishi wa Umma umefanyika Jijini Mwanza katika Ukumbi wa BOT kuanzia tarehe  27/05/2024 hadi 14/06/2024.

Kikao kimesikiliza na kupokea Rufaa na Malalamiko kutoka kwa Watumishi wa Umma na Mamlaka zao za Ajira.

Mkutano wa Nne wa Tume(PSC) wa mwaka 2023/2024-Mwanza.