Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma wamefanya ziara kutembelea mradi wa ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume-Mtumba

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji mst. mheshimiwa Hamisa H. Kalombola pamoja na Makamishna wa Tume wamefanya ziara kutembelea mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Tume ya Utumishi wa Umma linalojengwa katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma kuangalia hatua iliyofikiwa. Jengo la Tume linajengwa na mkandarasi Kampuni ya CRJE na mradi unaotarajia kukamilika mwezi Septemba 2024.  

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.