Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Mkataba wa Huduma kwa Wateja "Client Service Charter" wa Tume ya Utumishi wa Umma umeandaliwa na umeanza kutumika.

Mkataba wa Huduma kwa Wateja wa Tume ya Utumishi wa Umma umeandaliwa na umeanza kutumika. Mkataba unaonesha namna Tume itakavyo wajibika moja kwa moja kwa wateja wake. Aidha, ni njia bora ya kuibua na kushughulikia malalamiko na taarifa nyingine za wateja kuhusu viwango vya huduma inayotolewa.

Kupitia Mkataba huu, Tume itajipima mara kwa mara na kufuatilia utendaji wake ili kuboresha huduma zake kwa Umma.

 

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.