Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Tume ya Utumishi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar yatembelea Tume ya Utumishi wa Umma, Dodoma

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji (mst.) Mhe. Hamisa H. Kalombola, Makamishna na Sekretarieti ya Tume  ya Utumishi wa Umma wamekutana na Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar, Mhe. Khadija A. Omary, Katibu na baadhi ya watumishi wanaofanya ziara ya kuitembelea Tume ya Utumishi wa Umma, Jijini Dodoma kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kujifunza masuala ya uendeshaji na usimamizi wa rasilimali watu katika utumishi wa umma. 

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.