Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji mstaafu Mhe. Hamisa Kalombola amefunga mafunzo yaliyoandaliwa na Tume kwa washiriki kutoka katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, waliopo katika Kanda ya Ziwa na yamefanyika katika ukumbi wa Rocky City Mall, Jijini Mwanza.
Mhe. Kalombola amewasisitiza watumishi wa umma kusoma na kuelewa Marekebisho ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, muhimu zaidi Kanuni ya 61(4) inayohusu Tume kuanza kutoa uamuzi kwa kutumia vielelezo vya upande mmoja.
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.