Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA ZANZIBAR WAMETEMBELEA TUME YA UTUMISHI WA UMMA

Jaji Mst. Mhe. Hamisa H. Kambola, Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma amekutana  Ofisini kwake Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, Khadija Shamte Mzee aliyeitembelea Tume kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu Sheria, Kanuni na Taratibu zinazosimamia jmasuala ya Rasilimali Watu katika Utumishi wa Umma. Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Bw. Mathew M. Kirama, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw, Mussa Kombo Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Tume ya Utumishi wa Umma.   

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.