Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

Tume ya Utumishi wa Umma

Kampuni ya CRJE kutoka China kujenga Jengo la Ofisi ya Tume - Mtumba

Kampuni ya Ujenzi ya CRJE kutoka China imesaini Mkataba wa kuanza ujenzi wa jengo la Ofisi ya Tume ya Utumishi wa Umma katika mji wa Serikali Mtumba unaotarajia kuanza mapema Januari 2023. Tukio la utiaji saini limefanyika katika Ofisi ya Tume iliyopo Chimwaga Dodoma,  baina ya Tume na Mkandarasi CRJE na kuhudhuriwa pia na  Mshauri ujenzi - TBA.  

Taarifa Kwa Vyombo vya Habari

31-05-2022

TAARIFA KWA UMMA

Kurasa za Karibu

Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.