Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bw. Mathew M. Kirama amewatakia Watanzania wote Heri ya miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kauli Mbiu ya mwaka huu katika Maadhimisho haya yanayoadhimishwa leo tarehe 26 Aprili, 2022 ni "Uwajibikaji na Uongozi Bora"
JAJI MSTAAFU MHE. HAMISA HAMISI KALOMBOLA AMETEULIWA NA MHE. RAIS KUWA MWENYEKITI WA TUME
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.