Jaji (Mst) Hamisa H. Kalombola amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jumuiya ya Tume za Utumishi wa Umma Afrika (AAPSCOMs) kanda ya Afrika Mashariki.
Jaji (Mst) Hamisa H. Kalombola amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jumuiya ya Tume za Utumishi wa Umma Afrika (AAPSCOMs) kanda ya Afrika Mashariki.
28 Jan, 2025
Pakua
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma - Tanzania (PSC) , Jaji (Mst) Hamisa H. Kalombola amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jumuiya ya Tume za Utumishi wa Umma Afrika (AAPSCOMs) kanda ya Afrika Mashariki.