Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
TAHADHARI DHIDI YA CORONA (COVID-19):- ‘Wito umetolewa na Serikali kwa Watanzania kuzingatia taarifa za
kitaalamu, kwa kuwa kirusi aina ya Corona (Covid-19) huambukizwa kama
Mtu atapiga chafya, kukohoa na majimaji kuingia kwa mtu mwingine na
endapo atashikana na mtu au mahali penye virusi na kushika sehemu za
macho, pua na mdomo. Tuzingatie tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa
ugonjwa huu kama zilivyotolewa na Wataalamu’. DALILI:- Kichwa kuuma na maumivu ya kooni; Homa; Kikohozi; Kupumua kwa shida.
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.